sw_tn/mat/08/14.md

20 lines
586 B
Markdown

# Sentensi ungsnishi
Hapa simulizi inabadili mandhari ya muda na eneo. simulizi inakuwa ni ya Yesu akimponya mtu mwingine
# Yesu alipofika
Hawa wanafunzi yawezekana walikuwa na Yesu, lakini mtazamo wa hadithi Yesu alisema nini na kufanya nini, hivyo watambulishe wanafunzi pekee ikiwa inalazimika kuepusha maana ya uongo.
# Mama mkwe wa Petro
Mkwe - "mama wa mke wa Petro"
# homa ikamwacha
Ikiwa lugha yako itaelewa msemo kuwa homa inaweza kufikiri na kutenda yenyewe, hii inaweza kutafsiriwa kama "yeye akawa mzima" au "Yesu akamponya yeye:
# akaamka
"akaamka toka kitandani"