sw_tn/mat/08/14.md

586 B

Sentensi ungsnishi

Hapa simulizi inabadili mandhari ya muda na eneo. simulizi inakuwa ni ya Yesu akimponya mtu mwingine

Yesu alipofika

Hawa wanafunzi yawezekana walikuwa na Yesu, lakini mtazamo wa hadithi Yesu alisema nini na kufanya nini, hivyo watambulishe wanafunzi pekee ikiwa inalazimika kuepusha maana ya uongo.

Mama mkwe wa Petro

Mkwe - "mama wa mke wa Petro"

homa ikamwacha

Ikiwa lugha yako itaelewa msemo kuwa homa inaweza kufikiri na kutenda yenyewe, hii inaweza kutafsiriwa kama "yeye akawa mzima" au "Yesu akamponya yeye:

akaamka

"akaamka toka kitandani"