forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
586 B
Markdown
20 lines
586 B
Markdown
|
# Sentensi ungsnishi
|
||
|
|
||
|
Hapa simulizi inabadili mandhari ya muda na eneo. simulizi inakuwa ni ya Yesu akimponya mtu mwingine
|
||
|
|
||
|
# Yesu alipofika
|
||
|
|
||
|
Hawa wanafunzi yawezekana walikuwa na Yesu, lakini mtazamo wa hadithi Yesu alisema nini na kufanya nini, hivyo watambulishe wanafunzi pekee ikiwa inalazimika kuepusha maana ya uongo.
|
||
|
|
||
|
# Mama mkwe wa Petro
|
||
|
|
||
|
Mkwe - "mama wa mke wa Petro"
|
||
|
|
||
|
# homa ikamwacha
|
||
|
|
||
|
Ikiwa lugha yako itaelewa msemo kuwa homa inaweza kufikiri na kutenda yenyewe, hii inaweza kutafsiriwa kama "yeye akawa mzima" au "Yesu akamponya yeye:
|
||
|
|
||
|
# akaamka
|
||
|
|
||
|
"akaamka toka kitandani"
|