sw_tn/mat/08/05.md

403 B

Sentensi unganishi

Hapa simulizi hili linabadili mandhari ya muda na eneo na simulizi inakuwa ni ya habari za Yesu akimponya mtu mwingine

akaja kwake na kumwambia yeye

Hapa "yeye" anarejea kwa Yesu.

amepooza

"Asiyeweza kutembea kwa sababu ya ugonjwa"

Yesu akamwambia yeye

"Yesu akamwambia jemedari"

nitakuja na kumponya yeye

"nitakuja nyumbani kwako na kumfanya mtumishi wako apone"