forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
403 B
Markdown
20 lines
403 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hapa simulizi hili linabadili mandhari ya muda na eneo na simulizi inakuwa ni ya habari za Yesu akimponya mtu mwingine
|
||
|
|
||
|
# akaja kwake na kumwambia yeye
|
||
|
|
||
|
Hapa "yeye" anarejea kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# amepooza
|
||
|
|
||
|
"Asiyeweza kutembea kwa sababu ya ugonjwa"
|
||
|
|
||
|
# Yesu akamwambia yeye
|
||
|
|
||
|
"Yesu akamwambia jemedari"
|
||
|
|
||
|
# nitakuja na kumponya yeye
|
||
|
|
||
|
"nitakuja nyumbani kwako na kumfanya mtumishi wako apone"
|