forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
745 B
Markdown
20 lines
745 B
Markdown
# Sasa...asali ya nyikani
|
|
|
|
Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama kutenganisha mtiririko mkuu wa simulizi. Hapa Mathayo ana simulia habari za historia ya nyuma kuhusu Yohana Mbatizaji.
|
|
|
|
# alivaa nguoa za manyoa ya ngamia na mkanda wa ngozi katika kiuno chake.
|
|
|
|
Vazi hili huashiria kwamba Yohana ni nabii kama manabii wa tangu zamani, hususan nabii Eliya.
|
|
|
|
# Kisha Yerusalemu, Uyahudi yote, na mkoa wote
|
|
|
|
Hii humaanisha watu kutoka maeneo yale. "Hapa neno "yote" humaanisha "wengi." Mathayo anasisitiza jinsi watu wengi walivyoenda kwa Yohana Mbatizaji.
|
|
|
|
# Walibatizwa naye
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Yohana aliwabatiza."
|
|
|
|
# Wao
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu waliokuja kutoka Yerusalemu, Uyahudi, na mkoa kuzunguka Mto Yordani.
|