sw_tn/mat/02/intro.md

862 B

Mathayo 02 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mstari yote ya mistari ya 6 na18, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.

Dhana maalum katika sura hii

"Nyota yake"

Huenda labda inaelezea nyota ambayo wasomi waliamini kuwa ishara ya mfalme mpya wa Israeli. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/sign)

Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

"Waakili"

Tafsiri za Kiingereza hutumia maneno mengi tofauti ili kutafsiri maneno haya. Maneno haya ni pamoja na "wanajimu" na "watu wenye hekima." Watu hawa wangeweza kuwa wanasayansi au majusi. Ni bora kutafsiri hii kwa neno la kawaida "waakili," inapowezekana.

<< | >>