forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
# Taarifa kwa ujumla:
|
|
|
|
Mwandishi amnukuu nabii Yeremia kuonesha kwamba kifo cha watoto wote wa kiume katika mkoa wa Bethlehemu kilikuwa kwa mujibu wa Maandiko.
|
|
|
|
# Kisha ilitimizwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Hii ilitimizwa" au "matendo ya Herode yalitimiza."
|
|
|
|
# kile kilicho kuwa kimenenwa kwa njia ya nabii Yeremia
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kile Bwana alikinena hapo zamani kwa njia ya nabii Yeremia"
|
|
|
|
# Sauti ilisikika...hawakuwapo
|
|
|
|
Mathayo anamnukuu nabii Yeremia.
|
|
|
|
# Sauti ilisikika
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Watu walisikia sauti" au "kulikuwa na sauti kubwa."
|
|
|
|
# Raheli awalilia watoto wake
|
|
|
|
Raheli aliishi miaka mingi kabla ya wakati huu. Unabii huu huonesha Raheli, ambaye amekufa, akiwalilia wazaliwa wake.
|
|
|
|
# alikataa kufarijiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hakuna yeyote angeweza kumfariji"
|
|
|
|
# kwa sababu hawapo tena
|
|
|
|
kwa sababu watoto walikuwa wametoweka na kamwe hawatarudi." Hapa "hawapo tena" ni njia laini ya kusema wamekufa. "kwa sababu walikuwa wamekufa"
|