sw_tn/mat/02/13.md

879 B

Taarifa za jumla:

Katika mstari wa 15, mwandishi amnukuu nabii Hosea kuonesha kwamba Kristo angekaa Misri.

walikuwa wameondoka

:mamajusi walikuwa wameondoka"

alimtokea yusufu katika ndoto.

"alikuja kwa Yusufu wakati alipokuwa anaota.

Amka, chukua...kimbilia...Baki...wewe

Mungu anazungumza na Yusufu, haya yanapaswa kuwa katika umoja.

hadi nitakapo kuambia

Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa kuwa wazi. "mpaka nitakapo kuambia ni salama kurudi."

Nita kuambia

Hapa "nitakapo kuambia" inamaanisha Mungu. Malaika anazungumza kwa ajili ya Mungu.

Alibaki

Inamaanisha kwamba Yusufu, Mariamu, na Yesu walibaki Misri. "Walibaki"

mpaka kifo cha Herode

Herode hafi mpaka Maelezo haya yanaelezea urefu wa muda wa kukaa Mirsi, na hayasemi kwamba Herode alikufa kwa wakati huu.

Kutoka Misri nitamwita mwanangu

"Nimemwita mwanangu kutoka Misri"