sw_tn/mat/01/24.md

434 B

Maelezo yanayo unganisha:

Mwandishi anahitimisha maelezo ya matukio kuelekea kuzaliwa kwa Yesu.

kama malaika wa Bwana alivyoamuru

Malaika alikuwa amemwambia Yusufu kumchukua Mariamu kama mke wake na kumpa mtoto jina Yesu.

akamchukua kama mke wake

"alimwoa Mariamu"

kwa mwana

Hakika ni wazi kuwa Yusufu si baba halisi "kwa mtoto wa kiume" au "kwa mwana wake."

Na alimwita jina lake Yesu

"Yusufu alimwita mtoto Yesu"