forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
434 B
Markdown
20 lines
434 B
Markdown
|
# Maelezo yanayo unganisha:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anahitimisha maelezo ya matukio kuelekea kuzaliwa kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# kama malaika wa Bwana alivyoamuru
|
||
|
|
||
|
Malaika alikuwa amemwambia Yusufu kumchukua Mariamu kama mke wake na kumpa mtoto jina Yesu.
|
||
|
|
||
|
# akamchukua kama mke wake
|
||
|
|
||
|
"alimwoa Mariamu"
|
||
|
|
||
|
# kwa mwana
|
||
|
|
||
|
Hakika ni wazi kuwa Yusufu si baba halisi "kwa mtoto wa kiume" au "kwa mwana wake."
|
||
|
|
||
|
# Na alimwita jina lake Yesu
|
||
|
|
||
|
"Yusufu alimwita mtoto Yesu"
|