sw_tn/luk/22/61.md

8 lines
260 B
Markdown

# neno la Bwana
Tafsiri mbadala: "Neno la Yesu" au "Kile ambacho Yesu alikuwa amekisema"
# leo
Yesu alikuwa ameishaongea jioni iliyopita kile kitakacho tokea muda si mrefu kabla ya jua kuchomoza au katika kuchomoza kwa jua. Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo."