forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
260 B
Markdown
8 lines
260 B
Markdown
|
# neno la Bwana
|
||
|
|
||
|
Tafsiri mbadala: "Neno la Yesu" au "Kile ambacho Yesu alikuwa amekisema"
|
||
|
|
||
|
# leo
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa ameishaongea jioni iliyopita kile kitakacho tokea muda si mrefu kabla ya jua kuchomoza au katika kuchomoza kwa jua. Tafsiri mbadala: "Usiku wa leo."
|