forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
497 B
Markdown
16 lines
497 B
Markdown
# Yeye anisalitie
|
|
|
|
"Yeye atakaye nisaliti"
|
|
|
|
# Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake
|
|
|
|
"Kwa kweli Mwana wa Adamu atakwenda" au "Kwa maana Mwana wa Adamu atakufa"
|
|
|
|
# kama ilivyokwisha amuliwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kama Mungu alivyokwisha amua" au "kama Mungu alivyokwisha kupanga"
|
|
|
|
# Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Lakini ole kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!" au "Lakini ni hatari kiasi gani kwa mtu yule amsalitie Mwana wa Adamu!"
|