forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
692 B
Markdown
28 lines
692 B
Markdown
# mjane mmoja maskini
|
|
|
|
Hii ni namna ya kutambulisha mtu mpya katika hadithi
|
|
|
|
# zawadi
|
|
|
|
"zawadi za fedha"
|
|
|
|
# hazina
|
|
|
|
"sanduku la makusanyo" au "sanduku la fedha". Hili lilikuwa moja ya masanduku pale hekaluni ambapo watu huweka fedha kama zawadi kwa Mungu.
|
|
|
|
# senti mbili
|
|
|
|
"sarafu mbili ndogo" au "sarafu za shaba ndogo sana". Hizi zilikuwa ni sarafu zenye thamani ndogo sana ambazo watu walizitumia siku hizo.
|
|
|
|
# Nawaambieni
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
|
|
|
|
# wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo
|
|
|
|
Tafsiri mbadala:"kuwa na fedha nyingi na kutoa baadhi ya hizo"
|
|
|
|
# katika umaskini wake, ametoa zote
|
|
|
|
Tafsiri mbadala:"alikuwa na vichache sana, na bado aliweka vyote"
|