forked from WA-Catalog/sw_tn
692 B
692 B
mjane mmoja maskini
Hii ni namna ya kutambulisha mtu mpya katika hadithi
zawadi
"zawadi za fedha"
hazina
"sanduku la makusanyo" au "sanduku la fedha". Hili lilikuwa moja ya masanduku pale hekaluni ambapo watu huweka fedha kama zawadi kwa Mungu.
senti mbili
"sarafu mbili ndogo" au "sarafu za shaba ndogo sana". Hizi zilikuwa ni sarafu zenye thamani ndogo sana ambazo watu walizitumia siku hizo.
Nawaambieni
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi wake.
wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo
Tafsiri mbadala:"kuwa na fedha nyingi na kutoa baadhi ya hizo"
katika umaskini wake, ametoa zote
Tafsiri mbadala:"alikuwa na vichache sana, na bado aliweka vyote"