forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
863 B
Markdown
36 lines
863 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha:
|
|
|
|
Hii ni sehemu inayofuata ya sehemu ya simulizi inayoanza Yesu haongei tuu na wanafunzi wake tuu.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Inaonyesha umuhimu wa mabadiliko katika huduma ya Yesu alivyokuwa akienda Yerusalemu kwa mara ya mwisho.
|
|
|
|
# Yaliyoandikwa na manabii
|
|
|
|
"ambayo manabii waliandika"
|
|
|
|
# Manabii
|
|
|
|
Hii inamaanisha Manabii wa Agano la kale.
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu alikuwa anajielezea mwenyewe kama "mwana wa Adamu" na akatumia "yeye" kujielezea mwenyewe.
|
|
|
|
# Yatatimizwa
|
|
|
|
"yatatokea" au "yatatimia"
|
|
|
|
# Atatiwa mikononi mwa Mataifa
|
|
|
|
"Viongozi wa Kiyahudi watamkabidhi kwa Mataifa"
|
|
|
|
# watamtendea dhihaka na jeuri, na kutemewa mate
|
|
|
|
"watamdhihaki, watamtendea vibaya na kumtemea mate"
|
|
|
|
# Siku ya tatu
|
|
|
|
Hii inaelezea siku ya tatu baada ya kufufuka. Japokuwa wanafunzi wake hawakumuelewa, hivyo ni vizuri kutokuongeza maelezo haya unapotafsiri mstari huu.
|