sw_tn/luk/18/31.md

863 B

Maelezo yanayounganisha:

Hii ni sehemu inayofuata ya sehemu ya simulizi inayoanza Yesu haongei tuu na wanafunzi wake tuu.

Tazama

Inaonyesha umuhimu wa mabadiliko katika huduma ya Yesu alivyokuwa akienda Yerusalemu kwa mara ya mwisho.

Yaliyoandikwa na manabii

"ambayo manabii waliandika"

Manabii

Hii inamaanisha Manabii wa Agano la kale.

Mwana wa Adamu

Yesu alikuwa anajielezea mwenyewe kama "mwana wa Adamu" na akatumia "yeye" kujielezea mwenyewe.

Yatatimizwa

"yatatokea" au "yatatimia"

Atatiwa mikononi mwa Mataifa

"Viongozi wa Kiyahudi watamkabidhi kwa Mataifa"

watamtendea dhihaka na jeuri, na kutemewa mate

"watamdhihaki, watamtendea vibaya na kumtemea mate"

Siku ya tatu

Hii inaelezea siku ya tatu baada ya kufufuka. Japokuwa wanafunzi wake hawakumuelewa, hivyo ni vizuri kutokuongeza maelezo haya unapotafsiri mstari huu.