forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
773 B
Markdown
40 lines
773 B
Markdown
# Sasa kulikuwa na mjane
|
|
|
|
Yesu alitumia neno hili kumtambulisha mtu mwingine kwenye simulizi.
|
|
|
|
# Mjane
|
|
|
|
Ni mwanamke ambaye mume wake amekufa. Watu waliomsikiliza Yesu watafikiri kuwa ni mtu ambaye hamna mtu wa kumlinda kutoka kwa wale wanaotaka kumuumiza.
|
|
|
|
# Alimwendea mara nyingi
|
|
|
|
Neno "yeye" linamaanisha hakimu.
|
|
|
|
# Nisaidie kupata haki dhidi
|
|
|
|
"waadhibu" au "nisaidie"
|
|
|
|
# Mpinzani wangu
|
|
|
|
"adui yangu" au "mtu anayejaribu kuniumiza." Huyu ni mpinzani katika mabo ya sheria. Hipo wazi kuwa mwanamke anamshitaki yule mtu au yule mtu anamshitaki mwanamke.
|
|
|
|
# Kumwogopa Mungu
|
|
|
|
"ogopa Mungu"
|
|
|
|
# Mtu
|
|
|
|
Hii inamaanisha "watu" kwa ujumla.
|
|
|
|
# Ananisababishia matatizo
|
|
|
|
"Ananisumbua"
|
|
|
|
# Asinichoshe
|
|
|
|
"asije akanisumbua"
|
|
|
|
# Kwa kunijia mara kwa mara
|
|
|
|
"kwa kuja kwangu mara kwa mara"
|