forked from WA-Catalog/sw_tn
773 B
773 B
Sasa kulikuwa na mjane
Yesu alitumia neno hili kumtambulisha mtu mwingine kwenye simulizi.
Mjane
Ni mwanamke ambaye mume wake amekufa. Watu waliomsikiliza Yesu watafikiri kuwa ni mtu ambaye hamna mtu wa kumlinda kutoka kwa wale wanaotaka kumuumiza.
Alimwendea mara nyingi
Neno "yeye" linamaanisha hakimu.
Nisaidie kupata haki dhidi
"waadhibu" au "nisaidie"
Mpinzani wangu
"adui yangu" au "mtu anayejaribu kuniumiza." Huyu ni mpinzani katika mabo ya sheria. Hipo wazi kuwa mwanamke anamshitaki yule mtu au yule mtu anamshitaki mwanamke.
Kumwogopa Mungu
"ogopa Mungu"
Mtu
Hii inamaanisha "watu" kwa ujumla.
Ananisababishia matatizo
"Ananisumbua"
Asinichoshe
"asije akanisumbua"
Kwa kunijia mara kwa mara
"kwa kuja kwangu mara kwa mara"