forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
644 B
Markdown
24 lines
644 B
Markdown
# Habari kwa ujumla
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya pili ya hadithi. Hatujui sehemu ambapo haya yalijir; ni tu siku moja wakati Yesu alikuwa akifundisha.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
hii ni mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi.
|
|
|
|
# Mtu huyu anakaribisha wenye dhambi
|
|
|
|
"Mtu huyu amaleta wenye dhambi mbele yake" au "Mtu huyu ameshiriki na wenye dhambi"
|
|
|
|
# Mtu huyu
|
|
|
|
Walikuwa wakizungumza kuhusu Yesu.
|
|
|
|
# hata anakula nao
|
|
|
|
neno "hata" inaonyesha kwamba wao walidhani ilikuwa mbaya kwamba Yesu kuruhusu wenye dhambi kuja kwake, lakini ilikuwa mbaya zaidi kwamba angeweza kula pamoja nao.
|
|
|
|
# Watoza ushuru wote.
|
|
|
|
Hii ni kusisitiza kuwa kulikuwa na watu wengi sana. "watoza ushuru wengi"
|