forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
879 B
Markdown
28 lines
879 B
Markdown
# Kauli inayounganisha
|
|
|
|
Katika mstari wa 42, Yesu aliendelea kuelezea mfano
|
|
|
|
# Kauli ya jumla
|
|
|
|
Katika mstari wa 41, kuna katizo katika kuelezea mfano kwani Petro alimuuliza Yesu swali kuhusu mfano.
|
|
|
|
# Ni nani...kwa wakati mwafaka
|
|
|
|
Yesu alitumia swali kufundisha watu. Yesu hakujibu swali la Petro moja kwa moja, lakini alitegemea wale wanaotaka kuwa watumwa waaminifu kuwa mfano huo inawahusu wao. " Nimesema kwa kila mmoja ambaye ..kwa wakati mwafaka.
|
|
|
|
# Mtumwa mwaminifu na mwenye hekima
|
|
|
|
Yesu alielezea mfano mwingine wa jinsi watumishi wanavyotakiwa kuwa waaminifu wakati wanamngoja bwana wao arudi.
|
|
|
|
# ambaye bwana wake atamuweka juu ya watumishi wengine
|
|
|
|
"ambaye bwana wake atamuweka kuwa mtawala wa wengine"
|
|
|
|
# Amebarikiwa mtumishi yule
|
|
|
|
"Itakuwa heri kwa mtumishi yule"
|
|
|
|
# ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya
|
|
|
|
"kama bwana wake akirudi atamkuta akifanya kazi hiyo"
|