forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
688 B
Markdown
24 lines
688 B
Markdown
# kauli inayounganisha
|
|
|
|
Yesu alinukuu jinsi Mungu alivyomjibu mtu tajiri, alipokuwa anamalizia hadithi yake.
|
|
|
|
# usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako
|
|
|
|
"utakufa usiku wa leo" au " Nitaichukuwa uhai wako kutoka kwako leo"
|
|
|
|
# na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nani?
|
|
|
|
"nani atamiliki vitu ulivyo hifadhi?" au " ni nani atakayekuwa nayo vitu ulivyoviandaa?" Mungu alitumia swali kumfanya mtu atambue kuwa hatamiliki tena vitu hivyo.
|
|
|
|
# anayejiwekea mali
|
|
|
|
"kuhifadhi vitu vya dhamani"
|
|
|
|
# na si tajiri
|
|
|
|
"maskini"
|
|
|
|
# kwa ajili ya Mungu
|
|
|
|
Maana yake ni kwamba mtu huyu hakuwa anajali vitu vilivyo muhimu kwa Mungu, au kuwa Mungu atamlipa. "kwa mtazamo wa Mungu" au "kulingana na Mungu"
|