sw_tn/luk/11/37.md

12 lines
435 B
Markdown

# Habari ya Jumla
Huu ni mwanzo wa sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alikaribishwa kula nyumbani mwa Mfarisayo
# akawa pamoja nao
"kukaa katika meza". " ilikuwa ni desturi kwa chakula kama hii wanaume kula wakiwa wamekaa vizuri kwa kustarehe kwenye meza"
# kunawa
Mafarisayo wana sheria ya kuwa watu ni lazima wanawe mikono yao ili waonekane kuwa wasafi mbele za Mungu. "kunawa mikono" au "kunawa mikono ili kuwa msafi kiibada"