forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
435 B
Markdown
12 lines
435 B
Markdown
|
# Habari ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa sehemu iliyofuata ya hadithi. Yesu alikaribishwa kula nyumbani mwa Mfarisayo
|
||
|
|
||
|
# akawa pamoja nao
|
||
|
|
||
|
"kukaa katika meza". " ilikuwa ni desturi kwa chakula kama hii wanaume kula wakiwa wamekaa vizuri kwa kustarehe kwenye meza"
|
||
|
|
||
|
# kunawa
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo wana sheria ya kuwa watu ni lazima wanawe mikono yao ili waonekane kuwa wasafi mbele za Mungu. "kunawa mikono" au "kunawa mikono ili kuwa msafi kiibada"
|