forked from WA-Catalog/sw_tn
511 B
511 B
Lakini mwalimu, akitamani kujibibitisha kuwa
Lakini alijaribu kutafuta njia ya kujisafisha yeye mwenyewe, hivyo akasema" au " lakini akataka kuonekana kuwa ni mwenye haki, akasema"
Akajibu, Yesu akasema
Yesu akamjibu yule mtu kwa kumwambia fumbo AT: " kwa kumjibu Yesu akamwambia simulizi hii"
Akaangukia kati ya wanyang'anyi,
" Alizungukwa na wanyang'anyi" au "wanyang'anyi wakamteka".
Wakamvuaa na kumnyang'anya vya kwake
"Walimchukulia vyote alivyokuwa navyo" au "Wakamuibia vitu vyake vyote"