forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
746 B
Markdown
24 lines
746 B
Markdown
# Bwana wa mbingu na dunia
|
|
|
|
AT: "Mtawala juu ya kilammoja na kilakitu mbinguni na duniani"
|
|
|
|
# Vitu hivi
|
|
|
|
Hii inarejea mafundisho ya nyuma ya Yesu juu ya mamlaka ya wanafunzi wake. Inaweza kuwa rahisi kusema " vitu hivi" na msomi aweze kuielewa maana.
|
|
|
|
# Wenye hekima na ufahamu
|
|
|
|
" kutoka kwa watu wenye hekima na ufahamu". AT: "kutoka kwa watu wanaofikiri kuwa waoni wenye hekima na ufahamu".
|
|
|
|
# kwa wasio fundishwa
|
|
|
|
Hii inamaanisha wale watu wasio waza kuwa wao ni wenye hekima na wanawiwa kuyapokea mafundisho ya Yesu.
|
|
|
|
# Kama watoto wadogo
|
|
|
|
"kama watoto wadogo". hii inawakilisha watu wanaojua ya kuwa si wenye hekima na maarifa.
|
|
|
|
# kwa kuwa ilikuwa nzuri na kupendeza katika macho yako.
|
|
|
|
SAT: "kwa nyie mkiyafanya haya, yanawapendeza ninyi".
|