forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
947 B
Markdown
37 lines
947 B
Markdown
# Akawaambia
|
|
|
|
"yesu akawaambia wanafunzi wake"
|
|
|
|
# kujibu, Petro akasema
|
|
|
|
"Petro alijibu na kusema" au "Petro alijibu kwa kusema"
|
|
|
|
# Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza
|
|
|
|
AT: "Lakini yesu waliwaonya na kuwaelekeza" au '"Ndipo yesu waliwapa onyo kali"
|
|
|
|
# kutomwambia yoyote
|
|
|
|
"kutokumwambia mtu yoyote" au " wasimwambie mtu yoyote." Hii inaashiria msemo. AT: "lakini kuwaaonya, yesu aliwaambia,
|
|
"msimwambie mtu yoyote"
|
|
|
|
# kwamba mwana wa Adamu atateseka kwa vingi
|
|
|
|
AT: "kwamba watu wanweza msababishia mwana wa Adamu kuteseka sana." Hii pia inaweza kutafasiriwa kama msemo wa moja kwa moja kwa sababu ipo kwenye UBS.
|
|
|
|
# na kukataliwa na wazee na wakuu wa Makuhani na waandishi
|
|
|
|
AT: "na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi watamkataa"
|
|
|
|
# na atauliwa
|
|
|
|
AT: " na watu watamuua"
|
|
|
|
# kwenye siku ya tatu
|
|
|
|
"siku tatu baada ya kufa" au "kwenye siku ya taut baada ya kifo chake"
|
|
|
|
# atafufuka
|
|
|
|
"atawekwa hai." AT: "Mungu atamfanya hai tena" au "atafufuka"
|