forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
628 B
Markdown
32 lines
628 B
Markdown
# Sentesi kiunganishi:
|
|
|
|
Yesu akisali, pekee yake na wanfunzi wake, na kuanza kuongelea kuhusu yesu ni nani. Yesu anawaambia kuhus kifo chake na ufufuo utakao fata na kuwataka wamfate yeye hata iweje.
|
|
|
|
# Nayo ikawa kwamba
|
|
|
|
Hii sentensi inaashiria mwanzo wa tukio jipya.
|
|
|
|
# alipokuwa akiomba
|
|
|
|
"yesu alipokuwa akiomba"
|
|
|
|
# kusali pekee
|
|
|
|
Wanfunzi walikuwa na yesu, lakini alikuwa anasali pekee yake na yeye mwenyewe kwa siri.
|
|
|
|
# kujibu, wakasema
|
|
|
|
"walimjibu wakisema"
|
|
|
|
# Yohana mbatizaji
|
|
|
|
AT: "wengine wanasema wewe ni Yohana mbatizaji"
|
|
|
|
# kutoka nyakati za zamani
|
|
|
|
"ambae aliishi muda mrefu uliopita"
|
|
|
|
# amefufuka tena
|
|
|
|
"alifufuka"
|