forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
626 B
Markdown
28 lines
626 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani.
|
|
|
|
# wale waliotiumwa
|
|
|
|
AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu"
|
|
|
|
# walirudi
|
|
|
|
"walirudi pale alipokuwa yesu"
|
|
|
|
# wakamuambia
|
|
|
|
"mitume wakamuambia yesu"
|
|
|
|
# kila kitu walichofanya
|
|
|
|
Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji.
|
|
|
|
# aliwachukua , aliondoka mwenyewe
|
|
|
|
Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja"
|
|
|
|
# Bethadia
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|