forked from WA-Catalog/sw_tn
626 B
626 B
Sentensi unganishi
Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani.
wale waliotiumwa
AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu"
walirudi
"walirudi pale alipokuwa yesu"
wakamuambia
"mitume wakamuambia yesu"
kila kitu walichofanya
Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji.
aliwachukua , aliondoka mwenyewe
Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja"
Bethadia
Hili ni jina la mji.