sw_tn/luk/09/10.md

28 lines
626 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Ingawa wafuasi walirudi kwea yesu na wakaenda Bethadia kupumzika, makutano walimfata yesu awaponye na kusikiliza mafundisho yake. Aliwasaidia kugawanyisha mkate na samaki wakati wanarudi nyumbani.
# wale waliotiumwa
AT: " wale mitume kumi na mbili aliowatuma yesu"
# walirudi
"walirudi pale alipokuwa yesu"
# wakamuambia
"mitume wakamuambia yesu"
# kila kitu walichofanya
Hii ina wakilisha mafundisho na uponyaji waliofanya walipoenda kwenye miji.
# aliwachukua , aliondoka mwenyewe
Yesu na mitume wake waliondoka wenyewe. AT: "aliwachukua wakaondoka pamoja"
# Bethadia
Hili ni jina la mji.