forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
839 B
Markdown
24 lines
839 B
Markdown
# Ujumbe wa kuunganisha:
|
|
|
|
Yesu anaaza kuelezea maana ya mfano wa udongo kwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# mwovu shetani hulichukua neno mbali kutoka moyoni
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa anawafanya kusahau neno la Mungu ambalo wamelisikia.
|
|
|
|
# hulichukua mbali
|
|
|
|
Kwenye mfano hii ilikuwa kama fumbo la ndege anayedaka mbegu. jaribu kutumia maneno kwa lugha yako ambayo hutunza picha hii.
|
|
|
|
# kutoka moyoni mwao
|
|
|
|
Hii ina maana kuwa shetani hukichukua neno mbali mbali na hamu zao za kuliamini neno la Mungu.
|
|
|
|
# ili kwamba wasiamini na kuokolewa
|
|
|
|
Tangu mwanzo hili lilikuwa kusudi la mwovu, inaweza kutafsiriwa kama. "Kwa sababu mwovu amezama, 'Hawataamini na hawataokolewa"' au "'Hawataweza kuamini kwa matokeo ambayo Mungu atawaokoa."
|
|
|
|
# wakati wa majaribu huanguka
|
|
|
|
"Wakikutana na magumu wanaanguka mbali na Imani" au "Wanapokutana na magumu wanaacha kuamini"
|