forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
561 B
Markdown
20 lines
561 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
mistari hii inatoa mrejesho wa habari za Yesu kuhusu kuhubiri wakati anasafiri.
|
|
|
|
# Ilitokea
|
|
|
|
Hiki kipande cha maneno kimetumika hapa kuweka alama ya sehemu ya habari mpya.
|
|
|
|
# waliokuwa wameponywa na roho wachafu na magonjwa mbalimbali
|
|
|
|
"Ambao Yesu amewaweka huru kutokana na roho chafu na kuwaponya na magonjwa"
|
|
|
|
# Mary... na wanawake wengi.
|
|
|
|
"Wanawake watatu waliokuwa wanaitwa: Mariam, Yoana, na Susana.
|
|
|
|
# Yoana, mke Kuza, Meneja wa Herode.
|
|
|
|
Yoana alikuwa mke wa Kuza, na Kuza alikuja meneja wa Herode. "Yoana, Mke wa meneja wa Herode."
|