forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
707 B
Markdown
28 lines
707 B
Markdown
# Taarifa Unganishi:
|
|
|
|
Yesu aliendelea kusema kwa watu Kuhusu Yohana mbatizaji.
|
|
|
|
# Tena, naweza kuwalinganisha na nini ... wanafanana?
|
|
|
|
Yesu alitumia maswali kutambulisha mlinganisho.Yawaeza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hivi ndivyo nitawafananisha kizazi hiki., na ndivyo wanavyofanana.
|
|
|
|
# Watu wa kizazi hiki
|
|
|
|
Watu wanalioishi wakati wa Yesu anasema
|
|
|
|
# Wanafanana
|
|
|
|
Haya maneno ni mwanzo wa kulinganisha kwa Yesu. Yesu anasema kwamba watu wa kizazi hiki wanafanana na watoto ambao hawaridhiki na njia mbazo watoto wengine wanafanya
|
|
|
|
# Eneo la soko
|
|
|
|
Kubwa, eneo la wazi ambapo watu huja kuuza bidhaa zao.
|
|
|
|
# na hamkucheza
|
|
|
|
"Lakini hamkucheza kwenye mziki"
|
|
|
|
# Na hamkuomboleza
|
|
|
|
"Lakini hamkuomboleza na sisi"
|