sw_tn/luk/06/45.md

28 lines
893 B
Markdown

# Taarifa kwa Ujumla:
Yesu analinganisha mawazo ya mtu kwa hazina nzura au mbaya. Mawazo mazuri ya mtu mzuri yanasababisha matendo mazuri. Mawazo maovu ya mtu mwovu husababisha matendo mabaya.
# Mtu mwema
Neno "mwema" hapa linahusu mwenye haki au maadili mema.
# mtu mwema
Neno "mtu" linarejea kwa mtu, mwanaume au mwanamke. NI: "mtu mwema"
# Hazina njema ya moyo wake
"vitu vizuri hutunza moyoni mwake" au "vitu vizuri huvithamini"
# huzaa kilicho kizuri
Kutoa kilicho kizuri ni sitiari kwa kufanya mema. NI: "kufanya kilicho kizuri"
# hazina mbaya ya moyo wake
"mambo mabaya anayotunza moyoni mwake" au "mambo mabaya anayothamini"
# katika utajiri wa moyo wake mdomo huzungumza
Kirai "kinywa chake" kinawakilisha yeye kutumian mkinywa chake. NI: "anachofikiri moyoni mwake kinaathiri anachosema kwa mdomo wake" au anachokithamini moyoni mwake huamua kinachosemwa na kinywa.