forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
893 B
Markdown
28 lines
893 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Yesu analinganisha mawazo ya mtu kwa hazina nzura au mbaya. Mawazo mazuri ya mtu mzuri yanasababisha matendo mazuri. Mawazo maovu ya mtu mwovu husababisha matendo mabaya.
|
||
|
|
||
|
# Mtu mwema
|
||
|
|
||
|
Neno "mwema" hapa linahusu mwenye haki au maadili mema.
|
||
|
|
||
|
# mtu mwema
|
||
|
|
||
|
Neno "mtu" linarejea kwa mtu, mwanaume au mwanamke. NI: "mtu mwema"
|
||
|
|
||
|
# Hazina njema ya moyo wake
|
||
|
|
||
|
"vitu vizuri hutunza moyoni mwake" au "vitu vizuri huvithamini"
|
||
|
|
||
|
# huzaa kilicho kizuri
|
||
|
|
||
|
Kutoa kilicho kizuri ni sitiari kwa kufanya mema. NI: "kufanya kilicho kizuri"
|
||
|
|
||
|
# hazina mbaya ya moyo wake
|
||
|
|
||
|
"mambo mabaya anayotunza moyoni mwake" au "mambo mabaya anayothamini"
|
||
|
|
||
|
# katika utajiri wa moyo wake mdomo huzungumza
|
||
|
|
||
|
Kirai "kinywa chake" kinawakilisha yeye kutumian mkinywa chake. NI: "anachofikiri moyoni mwake kinaathiri anachosema kwa mdomo wake" au anachokithamini moyoni mwake huamua kinachosemwa na kinywa.
|