forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
738 B
Markdown
16 lines
738 B
Markdown
# Nanyi mtapewa
|
|
|
|
Yesu hakusema kwa hakika ambaye angetoa. Inawezekana inaanisha 1) "yeyote atakupa wewe 2) "Mungu atakupa wewe?
|
|
|
|
# kiasi cha ukarimu ....magotini penu
|
|
|
|
Amri ya sentensi hii inaweza kurudiwa. NI: "kitamwagwa magotini penu kiasi cha ukarimu kilichosindiliwa na kumwagika. "Yesu alitumia mfano wa mfanya biashara wa nafaka kupata kiasi cha ukarimu. NI: "Ni kama mfayabiashara wa nafaka ambaye hushindilia nafaka na kuzitikisa pamoja na hutoka nafaka nyingi ambazo humwagika, watakupatia wewe kwa ukarimu.
|
|
|
|
# Kiasi cha ukarimu
|
|
|
|
"kiasi kingi"
|
|
|
|
# Itapimwa hivyo hivyo kwako
|
|
|
|
Yesu hakusema kwa hakika nani atapima. Maana zinazowezekana 1)"watatumia kipimo hicho hicho kupima vitu vyako" au 2) Mungu atakupimia pia vitu wewe
|