sw_tn/luk/06/14.md

16 lines
690 B
Markdown

# majina ya mitume yalikuwa
Hizi ni taarifa zimeongezwa kwenye mstari wa ULB
# ndugu yake Andrea
"kaka yake Simoni, Andrea"
# Zelote
inawezekana maana 1) "Zelote" ni cheo kinacho onesha alikuwa sehemu ya kundi la watu waliotaka kuwaacha huru Wayahudi kutoka utawala wa Rumi NI: "mzalendo" au "mtaifa" au 2) "mwenye bidii" ni maelezo yanayoashiria alikuwa na bidii kwaajili ya Mungu kuheshimiwa. NI: "shauku"
# kuwa msaliti
Inaweza kuwa lazima kueleza nini maana ya "msaliti" katika mkutadha huu. NI: "aliwasaliti rafiki zake" au "aliwageuka rafiki zake mbele ya maadui" (kawaida kwa kurudisha fedha alizolipwa" au "kumweka rafiki katika hatari kwa kuwaambia maadui kuhusu yeye"