forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
690 B
Markdown
16 lines
690 B
Markdown
|
# majina ya mitume yalikuwa
|
||
|
|
||
|
Hizi ni taarifa zimeongezwa kwenye mstari wa ULB
|
||
|
|
||
|
# ndugu yake Andrea
|
||
|
|
||
|
"kaka yake Simoni, Andrea"
|
||
|
|
||
|
# Zelote
|
||
|
|
||
|
inawezekana maana 1) "Zelote" ni cheo kinacho onesha alikuwa sehemu ya kundi la watu waliotaka kuwaacha huru Wayahudi kutoka utawala wa Rumi NI: "mzalendo" au "mtaifa" au 2) "mwenye bidii" ni maelezo yanayoashiria alikuwa na bidii kwaajili ya Mungu kuheshimiwa. NI: "shauku"
|
||
|
|
||
|
# kuwa msaliti
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa lazima kueleza nini maana ya "msaliti" katika mkutadha huu. NI: "aliwasaliti rafiki zake" au "aliwageuka rafiki zake mbele ya maadui" (kawaida kwa kurudisha fedha alizolipwa" au "kumweka rafiki katika hatari kwa kuwaambia maadui kuhusu yeye"
|