forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
538 B
Markdown
16 lines
538 B
Markdown
# Hamkuwahi hata kusoma ... yeye?
|
|
|
|
Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye"
|
|
|
|
# Mkate wa wonyesho
|
|
|
|
"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu"
|
|
|
|
# Mwana wa Adam
|
|
|
|
Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu"
|
|
|
|
# ni Bwana wa Sabato
|
|
|
|
Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!"
|