sw_tn/luk/06/03.md

16 lines
538 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Hamkuwahi hata kusoma ... yeye?
Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye"
# Mkate wa wonyesho
"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu"
# Mwana wa Adam
Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu"
# ni Bwana wa Sabato
Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!"