sw_tn/luk/06/03.md

538 B

Hamkuwahi hata kusoma ... yeye?

Yesu anawakemea mafarisayo kwaajili ya kutojifunza maandiko. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi NI: "Mtajifunze kutokana na yale mliyo soma .... yeye"

Mkate wa wonyesho

"Mkate mtakatifu " au "mkate ambao uliokuwa ukitolewa sadaka kwa Mungu"

Mwana wa Adam

Yesu alikuwa anarejea yeye peke yake. 'Mimi' Mwana wa Adam. NI: "Mimi, Mwana wa Adamu"

ni Bwana wa Sabato

Cheo "Bwana" hapa inasisitiza mamlaka juu ya Sabato. NI: "ana mamlaka kutambua kipi ni sahihi kwa mtu kufanya siku ya sabato!"