forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
831 B
Markdown
24 lines
831 B
Markdown
# ndiyo, na wewe
|
|
|
|
Zakaria anatumia kauli hii kuanza hotuba yake moja kwa moja kwa mtoto wake. Unaweza kuwa na njia ile ile ya kuhutubia moja kwa moja katika lugha yako.
|
|
|
|
# huyu, mtoto, ataitwa nabii
|
|
|
|
Watu watatambua kwamba huyu ni nabii. Hii inaweza ikasemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "watu watajua kwamba wewe ni nabii."
|
|
|
|
# wa aliye Juu Sana
|
|
|
|
"ambaye anamtumikia aliye Juu Sana." Hii inarejea kwa Mungu. NI: "ambaye anazungumza kwaajili ya Mungu aliye Juu Sana."
|
|
|
|
# kwenda mbele za uso wa Bwana
|
|
|
|
Nahau hii inamaana "kwenda mbele za Bwana" au "kuja mbele za Bwana."
|
|
|
|
# kuwapa maarifa ya wokovu watu wake
|
|
|
|
"kuelezea wokovu kwa watu wake" au "hivyo watu wake waweze kufahamu wokovu"
|
|
|
|
# kwa msamaha wa dhambi zao
|
|
|
|
"kupitia msamaha wa dhambi zao." Pia inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "kwa sababu Mungu amewasamehe"
|