forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
768 B
Markdown
24 lines
768 B
Markdown
# Kwaajili
|
|
|
|
"Kwasababu" au "Katika nyongeza kwa hili"
|
|
|
|
# shangwe na kufurahia
|
|
|
|
Haya maneno mawili yanamaanisha jambo lilelile na yangeliweza kuunganishwa kama lugha haina maneno yanayofanana. NI: "furaha sana."
|
|
|
|
# kwa kuzaliwa kwake
|
|
|
|
"kwasababu ya kuzaliwa kwake"
|
|
|
|
# atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana
|
|
|
|
"atakuwa mtu mhimu sana kwaajili ya Bwana" au "Mungu atamstahilisha kuwa mtu mhimu sana" (UDB)
|
|
|
|
# atajazwa na Roho Mtakatifu
|
|
|
|
Hii itatajwa kama kauli tendwa: NI: "Roho Mtakatifu atamwezesha" au "Roho Mtakatifu atamwongoza." Hakikisha haieleweki sawa na ambavyo roho mchafu anaweza kumfanya mtu.
|
|
|
|
# toka tumboni mwa mamaye
|
|
|
|
watu tayari walishawahi kujazwa na Roho Mtakatifu, lakini hakuna hata mmoja aliyesikia mtoto ambaye hajazaliwa kajazwa na Roho Mtakatifu.
|