forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1013 B
Markdown
40 lines
1013 B
Markdown
# ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza
|
|
|
|
ugonjwa ujuu ya ngozi unaosambaa kwa urahisi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine
|
|
|
|
# kutoka mwilini mwake
|
|
|
|
Tazama maellezo ya sura 15:1
|
|
|
|
# mpaka atakapotakasika
|
|
|
|
Tama maelezo ya sura ya 13:23
|
|
|
|
# yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi
|
|
|
|
Tazama maelzo ya sura ya 13:20"
|
|
|
|
# wa njia ya kugusa maiti,
|
|
|
|
"kwa kugusa mwili wa mfu"
|
|
|
|
# dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wautendaji. : "dhabihu ambayo mtu mwingine ameitoa kwa Yahweh"
|
|
|
|
# au yeyote agusaye mnyama atambaaye atakayemtia yeye unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya nyeye kuwa ajisi
|
|
|
|
Hii yaeza kfanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa manyama ataambaye au kutokana na kugusa mtu aliyenajisi"
|
|
|
|
# yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi
|
|
|
|
Hii yaweza kufanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa mnyama aliye mlemavu au kutokana na kugusa mtu aliye najisi"
|
|
|
|
# hata jioni
|
|
|
|
"mpaka machweo"
|
|
|
|
# kuhani ... atakuwa najisi
|
|
|
|
Tazama maezo ya sura ya 13:23
|