forked from WA-Catalog/sw_tn
1013 B
1013 B
ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza
ugonjwa ujuu ya ngozi unaosambaa kwa urahisi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine
kutoka mwilini mwake
Tazama maellezo ya sura 15:1
mpaka atakapotakasika
Tama maelezo ya sura ya 13:23
yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi
Tazama maelzo ya sura ya 13:20"
wa njia ya kugusa maiti,
"kwa kugusa mwili wa mfu"
dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wautendaji. : "dhabihu ambayo mtu mwingine ameitoa kwa Yahweh"
au yeyote agusaye mnyama atambaaye atakayemtia yeye unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya nyeye kuwa ajisi
Hii yaeza kfanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa manyama ataambaye au kutokana na kugusa mtu aliyenajisi"
yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi
Hii yaweza kufanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa mnyama aliye mlemavu au kutokana na kugusa mtu aliye najisi"
hata jioni
"mpaka machweo"
kuhani ... atakuwa najisi
Tazama maezo ya sura ya 13:23