forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
501 B
Markdown
12 lines
501 B
Markdown
# mataifa yamechafuliwa
|
|
|
|
Hii humaanisha vikundi vya watu vinavyoishi huko Kanaani. Hii inafaa kufasiriwa ili kwamba ule msemo "mataifa" uwekwe wazi kuwa ni "watu." : "watu wa mataifa walijichafua wenyewe"
|
|
|
|
# Nayo nchi imenajisiwa
|
|
|
|
"Watu waliichafua nchi"
|
|
|
|
# nayo nchi ikawatapika wakazi wake
|
|
|
|
Yahweh akiwawaondoa watu kwa nguvu kutoka katika kunazungumziwa kana kwamba nchi ilikuwa mtu ambaye aliwatapika watu. : "Ikiwa aliwaondowa watu kwa nguvu kutoka katika nchi, kama vile mtu atapikavyo chakula"
|