forked from WA-Catalog/sw_tn
588 B
588 B
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile anawachoruhusu watu kula na kile ambacho anawazuia kula.
kwato zenye kugawanyika
Hii humaanisha kwamba kwato zilizogawanyika sehemu mbili badala ya kuwa wayo mmoja
hucheua.
Hii humaanisha mnyama anayeleta chakula kinywani kutoka tumboni mwake na hukitafuna tena.
aadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika
Yaani kwamba, wana moja au nyingine, lakini siyo yote mawili.
ngamia ni najisi kwenu
Ngamia kuwa hafai kwa watu kumla amaezungumziwa kana kwmaba alikuwa mchafu kimaumbile.