forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
588 B
Markdown
20 lines
588 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile anawachoruhusu watu kula na kile ambacho anawazuia kula.
|
||
|
|
||
|
# kwato zenye kugawanyika
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha kwamba kwato zilizogawanyika sehemu mbili badala ya kuwa wayo mmoja
|
||
|
|
||
|
# hucheua.
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha mnyama anayeleta chakula kinywani kutoka tumboni mwake na hukitafuna tena.
|
||
|
|
||
|
# aadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika
|
||
|
|
||
|
Yaani kwamba, wana moja au nyingine, lakini siyo yote mawili.
|
||
|
|
||
|
# ngamia ni najisi kwenu
|
||
|
|
||
|
Ngamia kuwa hafai kwa watu kumla amaezungumziwa kana kwmaba alikuwa mchafu kimaumbile.
|